KATIBU HAMASA WILAYA YA TARIME C.D.E PANJU ANUSILIKA KUSHAMBULIWA NA GENGE LA VIJANA

 

Pichani ni katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi Wilaya Ya Tarime C.D.E THOMAS SULLEIMAN 

Katibu hamasa na Chipukizi Wilaya Ya Tarime C.D.E THOMAS SULLEIMAN (Panju) anusulika kushambuliwa na genge la vijana 

Katibu Wa Uhamasishaji na Chipukizi Wilaya Ya Tarime ameieleza MBC MEDIA undani wa tukio hilo 

Amesema Mimi nilikuwa nimekaa sehemu na jamaa zangu sehemu baada ya kupata chakula tumekaa sehemu hiyo tunabadilishana na mawazo lakini baada ya muda kidogo nimeshangaa wanafika vijana na kuanza kunishambulia kwa maneno hata hivyo walikuwepo mashuhuda kama vile bwana Boniphace ambaye pia ni Mjumbe wa mkutano mkuu wa vijana Wilaya 

Pichani ni Mr Boniphace, mjumbe wa mkutano mkuu wa vijana Wilaya 

Ameshangazwa na tukio hilo ambalo kimsingi amelaani tukio hilo.

Hata hivyo MBC MEDIA haikuishia hapo imemutafuta bwana boniphace 

Ambaye pia ameieleza MBC MEDIA kuwa 

Hili tukio la leo sio la kufurahisha maana pia tayari tumesha maliza uchaguzi ndani ya chama hivyo niwaombe viongozi wa chama waingilie kati jambo hili kumaliza swala hili kwani halina afya kwa chama chetu 

Hata hivyo Vijana hao hawakuishia hapo wamempigia simu mwandishi wa MBC MEDIA na kumtolea maneno ya vitisho 


Lakini pia Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi amewataka vijana hao kuvunja magenge hayo kwani hayana afya katika chama chetu huu ni muda wa kukijenga chama chetu sio vinginevyo.




Comments

Popular posts from this blog

GWAJIMA AACHE KUCHEZEA AMANI YA TAIFA, NA MHE. RAIS SAMIA AANGALIE JICHO LA CHINI YA KIVULI HIKI

MKURUGENZI WA SOYA ONE LIMITED AWASISITIZA WAUMINI WA EAGT RONSOTI TARIME MJINI KUILINDA AMANI; AFANIKISHA UPATIKANAJI WA MCHANGO WA MILIONI 12, ACHANGIA MILIONI 8 NA ASINDIKIZWA KWA MILIONI 5

SOYA ONE LIMITED YAENDELEA KUNG’ARA KATIKA UDHAMINI WA ELIMU NA JAMII TARIME