BARABARA YA NYAMWAGA ROAD YAGEUKA KERO

 Barabara ya Nyamwaga Road Yageuka Kero  Kwa Watumiaji


PICHA YA BARABARA IKIONYESHA UBOVU WA                                      BARABARA HIYO

 Barabara hii kama unavyo iona hapa imekuwa na mashimo makubwa na Kila kukicha inasababisha ajali maana hapa bodaboda anaweza kuwa anakwepa shimo anaenda kwenye gari ni kusema kwamba hapa serikali haioni tunaiomba serikali Yetu sikivu Ione na hii barabara ndani ya hii wiki tumewapoteza vijana wetu hii yote ni kwa sababu ya ubovu wa barabara hii barabara hii inazidiwa hata na zile barabara za uchochoroni imekuwa na mashimo mengi sana "Amesema Mwananchi Wakati Akizungumuza na Mwandishi Wetu "


Kwa udani wa habari hii piga SIMU 0656114499

Comments

Popular posts from this blog

GWAJIMA AACHE KUCHEZEA AMANI YA TAIFA, NA MHE. RAIS SAMIA AANGALIE JICHO LA CHINI YA KIVULI HIKI

MKURUGENZI WA SOYA ONE LIMITED AWASISITIZA WAUMINI WA EAGT RONSOTI TARIME MJINI KUILINDA AMANI; AFANIKISHA UPATIKANAJI WA MCHANGO WA MILIONI 12, ACHANGIA MILIONI 8 NA ASINDIKIZWA KWA MILIONI 5

SOYA ONE LIMITED YAENDELEA KUNG’ARA KATIKA UDHAMINI WA ELIMU NA JAMII TARIME