MATOKEO ya Mtihani wa Taifa wa Darasa la Saba Mwaka 2024 yamedhihirisha ubora wa Shule ya Royal Family School
MATOKEO ya Mtihani wa Taifa wa Darasa la Saba Mwaka 2024 yamedhihirisha ubora wa Shule ya Royal Family School (pichani juu),iliyopo Geita Mjini
Shule hiyo ambayo inajulikana kwa jina la Royal Family School iling’ara katika matokeo hayo, chini ya uongozi wa Royal Family School
Royal Family School ambayo ni shule ya kutwa na bweni, ilipata ufaulu wa juu
Sana
WAZAZI na walezi leteni watoto wenu wapate elimu bora katika mazingira ya kuvutia na wezeshi ya kujifunza kwa weledi hapa Royal Family School.”
“Hakuna mzazi aliyejutia kumleta mtoto wake kusoma katika shule hii. Tuna kila sababu ya kuwathibitishia Watanzania kuwa shule yetu ni mkombozi wa elimu bora,” anasema.
Royol Family School, ni shule ya kisasa ya bweni na kutwa kwa wanafunzi
Ni mradi mkubwa wa kijamii uliofanikishwa na mwekezaji mzawa


Comments
Post a Comment